Thursday, August 22, 2013

UMEONA NINI?

Siku moja mwalimu wa kike alikua anatoa Home work kwa wanafunzi wa darasa la sita . 

Ilikua ni homework ndefu ikabidi aanze kuandika juu kabisa ya ubao , akiwa anaendelea kuandika huku amesimamia vidole ili aweze kufikia juu ya ubao . Mwalimu alikua ni mzuri na siku hiyo alivaa kimini .

Mara ghafla alisikia dogo mmoja ametoa mguno !! 
Aligeuka na kumuuliza " kilichokufanya ugune nini patric ?"

[PATRIC]. " nomeona skin tyt yako imetokeza mguu wa kushoto na uzi una ning'inia " 


[ MWALIMU] huku akigeukia ubao " toka nje darasani kwangu na pia adhabu yako usije shule siku tatu pumbavu watoto wasiku hizi hamna adabu "

Mwalimu aligundua kua hajaandika kichwa cha habari hivyo alilazimika kujinyoosha na kujipinda ili aweze fikia juu kabisa ya ubao . Mara akasikia mguno mwingine darasani aligeuka fasta ...

" Enhe na ww hussein una guna nn ? Kuna kinacho furahisha ?"

[HUSSEIN] " nimeona mapaja mwalimu na skin tyt yako nyeusi afu ina kama mpasuo "

[MWALIMU] kwa hasira " toka njee sitaki kukuona darasani kwangu , nadhani ni muda wakutoa adhabu Kali usije shule wiki tatu na ukija uje na mzazi wako "

Kwakua mwalimu alijiskia aibu na kutoheshimiwa alipata mawazo huku akiwa anaendelea kuandika mara ghafla akaangusha chaki , akageukia darasa na kuinama kuiokota ...

Sasa aliskia mwanafunzi mmoja wakiume akiguna na kucheka ,wengine walicheka kwa kujificha , alipo geuka upande wa kushoto , mara mwalimu alimuona dogo JOHN akitoka njee ya darasa ..

[MWALIMU] "kuja hapa john na ww unadhani unaenda wapi bila ruhusa ???" 


[JOHN] " mwalimu mie nilicho kiona kwakweli nadhani NIMEMALIZA SHULE, nimefukuzwa hadi mtihani wa la SABA ...."


No comments:

Post a Comment