Friday, July 26, 2013

ANDUNJE

Andunje aliingia chumbani kwa wazazi wake na kuwabamba akawauliza

"Baba, mnafanya nini?"

Baba yake akamjibu

"namdunda mama yako"

Andunje akakaa kwa mda akitafakari kwa huzuni kabisa na sauti ya kipole

"Mama, jamani sasa ni kosa gani umefanya mpaka ustahili adhabu kubwa namna hiyo?? yaani leo tu peke yake umepigwa na wanaume wanne tofauti,

Kwanza, alikua mlinzi Masanja, badae ikawa huyu housiboy Vengu, akafuata muuza magazeti, Mpoki na sasa baba.

Kwanini lakini? we Mama utakua mtundu na mkorofi saaana"

BAADA YA APO

Andunje kwa sasa anaishi kwa shangazi yake, Mama Belle,

Baba yake yupo rumande kwa kosa la kuua

Mazishi ya mama yake yamepangwa kufanyika wikiendi hii

vp utahudhuria??
 


No comments:

Post a Comment