Tuesday, April 24, 2012

JINSI TUNAVYOISHI.....NA ATHARI ZAKE...!!



Katika kuwahi kwake shule siku hiyo Juma, alijikuta amechelewa kufika class

ambapo alikuta mwl Magdalena anafundisha. 


akaingia kimyakimya mpaka kwa sehem yake. kumbe mwl akamshtukia 


akasema kwa ukali

Mwl: Juma?! ndo nn hiyo? hebu toka afu ingia ka baba'ko anavyofanya kwenu!!


Juma akatoka nje mara punde akarudi, 



akabamiza mlango kwa nguvu afu akamfata ticha akamla denda afu akauliza


kwa ukali

Juma: mke wangu, ugali uko wapi??!!

class zima hoi kwa kicheko!!!!!


No comments:

Post a Comment