Monday, April 30, 2012

KAMA SIO WIZI NI NINI???...



Girl: Hellow

Boy: Sweety mambo vip?

Girl: poa

Boy: Utakua free weekend hii? Nilikua nataka uje home.

Girl: Ooh Sorry, sitoweza kuja coz kuna harusi ya Aunt yangu na kesho yake kutakua na wageni nyumbani.

Boy: kama ni hivo sawa just nilikua nataka nikufanyie surprise, nimekununulia Blackberry Torch

Girl: ooh!! Usijali mpenz wangu ntakuja, hata ukitaka nilale uko uko nitalala

Boy: vipi kuhusu harusi??

Girl: harusi ipi?? Nilikua nakutani honey.

Boy: ok, na mimi pia nilikua nakutania tu.....


No comments:

Post a Comment