Thursday, October 25, 2012

HAPO SASA...!!

Jamaa: samahani siwezi tena kukuoa.

Binti: Kwa nini?


Jamaa: Familia yangu haitakubali!


Binti: Familia yako ni kina nani mpaka waingilie penzi letu???!


Jamaa: Mke wangu na watoto wangu watano.


No comments:

Post a Comment