Wednesday, May 8, 2013

MCHUMBA

Madenge baada ya kufaulu mtihan wa Form Four akaambiwa achague zawad yoyote aipendayo,

Madenge: nataka posa nikamuoe bibi maana ni siku nyingi amekuwa akiniita mchumba wake,


Baba Madenge: Shenz ww yule ni mama yangu mzaz huwez kumuoa,


Madenge: Mbona ww umemuoa mama yangu mzaz sijasema kitu!


No comments:

Post a Comment