Thursday, May 2, 2013

UNA BAHATI


Mdada alikuwa akisafiri kwenye basi, ghafla Jamaa aliyekuwa kakaa kiti cha nyuma akamtapikia

JAMAA: Samahani dada lakini una bahati sana

MDADA: Mshenzi mkubwa umenitapikia halafu unasema nina bahati

JAMAA: Ndio leo nimetoka kula pilau, kwa kawaida saa hizi huwa nakuwa nimekunywa kangara

No comments:

Post a Comment