Monday, May 26, 2014

UKIKAMATWA NA POLISI

CHONDECHONDE UKIKAMATWA NA POLISI USITOE MAJIBU HAYA

Tafadhali ukiwa unaendesha gari ukasimamishwa  na 
polisi tafadhali jizuie usitumie majibu yafuatayo:
 
  • Hebu nishikie konyagi yangu nikutolee leseni 
  • Nilitaka na mimi kuwa polisi nikaona huu ufala
  • Unajua mshahara wako unatoka kwangu mimi mlipa kodi?
  • Bosi wako mwenyewe tulisoma nae praimari alikuwa mjingamjinga
  • Umejuaje nimekunywa, au na wewe mdau?
  • Jela zimetengenezwa kwa ajili yetu

No comments:

Post a Comment