Saturday, May 17, 2014

WATEKAJI HOI

Eti majamaa wamemteka mtoto... Wakampigia mzazi... Wakamwambia.. tumemteka mtoto wako.. ili uweze kumpata itabidi utoe millioni kumi...

Yule mzee wala hakustuka... Akawauliza.. nashukuru sasa nafahamu mtoto wangu hajapotea bali mmemteka mko naye nyie...

Sasa je mnampa mahali pa kulala??

Majamaaa yakajibu.. ndio tena pazuri tu

Mzee akauliza. Vp mnampa chakula??

Majamaa yakajibu ndio tena kwa muda muafaka....

Mzee akawaambia...

Basi njooni maana kuna wadogo zake wanne muje muwachukue..mana mie hali ngumu kuwahudumia hawa wote ni taabu

No comments:

Post a Comment