Wednesday, June 11, 2014

MLEVI NOMA

Mlevi alianguka watu wakajaa kila mmoja akatoa wazo lake:-

Mmwagieni maji kichwani,


Mpepeeni amekosa hewa huyo!,


Dogo mmoja akasema:- 


"Njaa inamsumbua huyo, mchukulieni nusu kuku na castle baridi."

Mlevi akanyanyua kichwa taratibu nakusema:- 


"Msikilizeni vizuri dogo" 

Kisha akalala tena!! 

No comments:

Post a Comment