Monday, January 19, 2015

BADO MTAMA....

1. Bibi kapigwa mtama na kibaka na kuporwa simu yake.

2. Bibi akaanza kumfukuza.

3. Baada ya kuona bibi hachoki kibaka akatupa simu chini na kuendelea kukimbia.

4. Bibi akaokota simu yake na kuendelea kumfukuza tena.

5. Kibaka akauliza. '' Bibi unataka nini, Simu yako c nishakurudishia?''

6. Bibi akajibu '' Bado mtama''

🏃🏃...........

No comments:

Post a Comment