Wednesday, January 14, 2015

FUNDI JENEZA

Fundi majeneza alipata oda ya Jeneza akawa anapeleka kwa gari lake.

Njiani gari ikaharibika, akaamua kubeba kichwani kumpelekea mteja wake ili amuwahishie mana giza lilishaingia

Akakutana na askari watano (5)wakiwa doria, akajua lazima watataka rushwa.

Askari;Wewe Unakwenda wapi na hilo jeneza usiku huu?

Jamaa:- Nilikuwa nimezikwa makaburi ya KINONDONI sijapapenda ndo naelekea KISUTU nikajizike au mnanishaurije ndugu zangu?

Acha askari watimue mbio

Chezea mzimu wewe...!!

No comments:

Post a Comment