Wednesday, January 7, 2015

ZOGO KAMALIZA

Mwalimu kauliza swali darasani wanafunzi wataje  kazi za wazazi wao:

TINA: mimi baba yangu mfanyabiashara mama yangu mwalimu.

MWALIMU: Safi, haya juma

JUMA: Baba yangu dereva mama yangu hafanyi kazi.

MWALIMU: Vizuri, haya Zogo.

ZOGO: Mimi mama yangu malaya anajiuza baba simjui.

MWALIMU: Pumbavu wewe, nenda ofisini kwa mwalimu mkuu ukamueleze upuuzi wote uliosema hapa.

Zogo anaenda ofisini anarudi huku anatabasamu na anakula biskuti.

MWALIMU: Mwalimu mkuu kakupa adhabu gani?

ZOGO: Kaniambia nimpe namba ya mama...

🙌

No comments:

Post a Comment