Sunday, March 24, 2013

CHAPOMBE

Chapombe kamuomba rafiki yake hela ya kwenda kunywa, 

rafiki yake akamjibu: siwezi kukupa pesa ukanywe pombe. Niombe pesa kwa jambo lingine ila si pombe! 

Chapombe: nikifa hutatoa mchango? 

Rafiki: ukifa mchango lazima nitatoa. 

Chapombe: basi nipe advansi ya huo mchango leo, nikifa utamalizia kabisa kilichobakia.

No comments:

Post a Comment