Friday, November 7, 2014

MASWALI HAYA...!!!!

MASWALI MENGINE NOMA!!.

Jamaa siku yao ya kwanza ya Ndoa akamuuliza mkewe,...

"Una hakika mimi ndiye mwanaume wa kwanza kulala nawe?."

Mke akajibu,

"Ndiyo honey, wengine wote ilikuwa hatulali ni shughuli mpaka asubuhi."

Bwana harusi kazimia.

Itaendelea akizinduka bado nafuatilia.



No comments:

Post a Comment