Wednesday, September 5, 2012

CHEZEA KIFO WEWE!

Jamaa alienda kuposa kwa mzee mmoja. 

Mzee: Umekuja kuposa huku unatafuna big g!!? 


Jamaa: Natoa harufu ya sigara. 


Mzee: Yani unavuta sigara!? 


Jamaa: Vile nikitoka baa kulewa tu. 


Mzee: yani Unalewa!? 



Jamaa: Nilianza kulewa nilipokuwa jela. 



Mzee: Yaani na kufungwa pia!?



Jamaa: Ah niliua mtu
. 


Mzee: Duh kumbe wewe muuaji!? 



Jamaa: Ah, si kuna mzee nilitaka kumposa mwanae akanikatalia, mimi nikamuulia mbali.



Mzee: Karibu baba, unataka harusi lini? Mimi sina tabu, mke mkeo uyu! Na mahali utaleta ukipata aina tabu..





CHEZEA KIFO WEWE!

No comments:

Post a Comment