Thursday, January 24, 2013

KUDAIANA

MCHAGA anamdai MPARE hela. Huku MSAMBAA akishuhudia

MPARE:nimesema sikupi bora nijiue... (kwa ubahili wake mpare akajichoma kisu akafa)


MCHAGA:kiruu umejiua mbee sikubali na kufuata huko huko unipe pesa yangu (kwa kupenda hela mchaga nae
akajichoma kisu ili amfuate)


MSAMBAA:tateee nane nane..yaani hawa wanataka kuninyima uhondo wanaenda kudaiana huko ili nisione,walah sikubali nami najichoma (msambaa kwa umbea tu,na uboya wake nae akajichoma akafa! 

Sasa hapo nani mbulula??




No comments:

Post a Comment