Monday, January 28, 2013

MTIHANI KWA DOKTA

Jamaa ana tatizo kaingia kwa Daktari ikawa kama ifuatavyo,,

Jamaa: Dokta nina tatizo huku sirini,


Daktari : Hebu vua nguo tuone,


Jamaa: sawa navua ila naomba usicheke, pliz dkt usicheke.


Daktari : usijari mimi hii ndo kazi yangu siwezi kumcheka mgonjwa.

Jamaa akavua suruali kuonesha dushelele yake. 


basi dokta kuona ustaarabu ukamshinda akaanza kucheka na akacheka kama dk 3 hadi machozi yakamtoka. 

kwani dushelele ya jamaa ni kadogo kama betri Ya AAA (betri za remote ya king'amuzi). 

Daktari alipomaliza kucheka mazungumzo yakaendelea,,

Daktari : enhee Tatizo ni nini???
Jamaa: IMEVIMBAA toka juzi,

Daktari Akazimia pale pale........


No comments:

Post a Comment