Wednesday, January 23, 2013

OFISI YA MAKUMBUSHO


Jamaa mmoja anapiga simu ofisi ya makumbusho ya Taifa.

"Haloo hapo ni makumbusho ya taifa?


OFISI:Ndio tukusaidie nini?

JAMAA:"Ok, naomba mnikumbushe mwaka juzi saa yangu niliipoteza wapi?"


OFISI:"Pumbavu hiyo siyo kazi yetu"


JAMAA: Sasa makumbusho mnakumbusha nini?"


OFISI: Tunahifadhi mambo ya zamani.


JAMAA:"Ahaa.....kumbe saa yangu mtakuwa nayo!" Nakuja kuichukua sasa hivi.

No comments:

Post a Comment