Wednesday, August 22, 2012

BINGWA WA KUUCHUNA

Kati ya wafuatao yupi anajua KUUCHUNA? 

1) Juha: Nilimpigia simu mke wangu akapokea hakusema 'hallow! Nami nikauchuna. Sikuongea mpk pesa zote zikaisha simu ikakata!

2) Zoba: Niligonga mlango mke wangu akafungua, lakini hakuniambia karibu nikasimama palepale mlangoni mpk kesho yake nikageuza nikaondoka.


3) Zuzu: Tangu nimuoe mke wangu hajaniita mpenzi, nimegoma kulala naye hadi leo ni miaka 6.


Wenzake wakamwambia: Wee muongo, mbona una watoto wawili?


Zuzu akajibu: mpaka leo sijamuuliza watoto ni wanani? NIMEUCHUNA


No comments:

Post a Comment