Tuesday, August 14, 2012

WATU WENGINE VIMEO

Mwalimu alimkuta jamaa fulani anakojoa katika fence ya shule mwalimu akamuuliza 

"we kijana, hujaliona hilo bango hapo?" 

akalisoma "USIKOJOE HAPA" 

jamaa akajibu 

"nimeliona ila nilidhani ni jina la shule"

kwa hisani ya masanjawani

No comments:

Post a Comment