Friday, August 24, 2012

WATOTO NI HATARI

Baada ya kuona panya wamezidi nyumbani baba akaamua kununua samaki na kumuweka sumu na kuwategeshea panya, 

baada ya masaa kupita baba akamtuma mwanae aende kumwangalia samaki kama panya wamemla na kufa

mtoto : baba yule samaki uliowategeshea panya nimemla na ugali panya walisusa kumla.................!!!?

No comments:

Post a Comment