Saturday, August 18, 2012

NJIA ZA KUFUNDISHIA

KUNA BAADHI YA NJIA NI UTATA..

hasa ukiwa unajaribu kufundisha hesabu....itabidi zibadilike.... mfano ni huu..

Mwalimu: ukiwa na maembe matano (5) halafu mi nikaja nikachukua manne (4), je we utabakiwa na nini??

Mwanafunzi: aisee nitabakiwa na HASIRA SANA....

eeeh kwani kakosa??

No comments:

Post a Comment