Monday, August 13, 2012

MAJIBU NDO HAYA

MWALIMU: Ukiwa unatoka Arusha ukipita MLANDIZI kituo kinachofuata kinaitwaje?

MWANAFUNZI: Kituo kinachofuata kitakuwa kinaitwa MLAEMBE.

=======================================================

MTOTO: Mama nimemwomba baba hela ya kusuka akaninyoa nywele! 

MAMA: Una bahati mwanangu ungemwomba hela ya Whitedent angekung'oa meno!

======================================================

Ticha: Ni vitu gani unapaswa kuandaa ukitaka kupanda Mlima Kilimanjaro?

Denti: Kwanza ununue mbegu za mlima wenyewe na pia inabidi uwe na trekta la kuandaa shamba mapema.

=============================================================

No comments:

Post a Comment