Thursday, May 24, 2012

UTAMFANYAJE HUYU???

EbU pata picha

mpo kwe basi mnasafiri kutoka mkoa 1 kwenda mwngne, mpo katikati ya safari basi lipo kasi sana..



abiria baadhi wamelala wengne wanaangalia vijiji wanavyovpita njiani..


ghafla abiria 1 uko siti za nyuma anapaza saut..


"ayaaa..mamaaaa uuuwiiiii.."


abiria wote mnashtuka wengine wanaangalia nje dirishan wakizani ajali..


Afu jamaa akamaliza...


"duh nmesahau chaja yangu."

EbU nambie we kama abiria ungemtupia neno gan!


1 comment:

  1. He he, ngemzaba kibao kwanza hlf awali lingekuja badae..

    ReplyDelete