Tuesday, May 22, 2012

NANI MSAHAULIFU

kati ya hawa nani msahaulifu wa 


1: alikuwa anakula huku anagonga gonga meza mara akaacha na kuitikia "ingia mlango upo wazi PITA TU"


2: alikuwa anacheka akatokwa na machozi ya furaha lakini ghafla akasahau na kujiuliza alikuwa anacheka au analia


3: alikuwa anapandisha ngazi mara simu ikaita akasimama na kupokea lakini alipomaliza kuongea na simu akawa anajiuliza kama alikuwa anapanda au anashuka.........

No comments:

Post a Comment