Wednesday, May 23, 2012

MLEVI HUYU KIBOKO

MLEVI alipoteza funguo ya nyumba yake usiku sasa anatafuta tafuta, jamaa m1 akamuona ikabidi amuulize...

JAMAA-ebwana kwani umepoteza nini?


MLEVI-funguo ya hme


JAMAA-pole sasa umeipotezea wapi?


MLEVI-kuleeee (akionyesha umbali kdg na alipo afu kuna kigiza giza kdg)


JAMAA-duh! sasa kama umepotezea kule mbona waitafuta hapo?


MLEVI-ah! we mpuuuzi nini we huoni kule kuna giza ntaipataje? ndo maana nimekuja kuitafuta hapa kwenye mwanga...


No comments:

Post a Comment