Thursday, May 31, 2012

TEJA NA FUNGUO

Teja(mvuta bangi) alipoteza funguo za nyumba yake usiku akawa anatafuta tafuta,


jamaa mmoja akamuona ikabidi amuulize

JAMAA:"Oya kwani umepoteza nini?"


TEJA:"Funguo za home"


JAMAA:"Pole sana.....umepotezea wapi?"


TEJA:"Kuleeee (akionyesha mbali kwenye giza)


JAMAA:"Duh! Sasa kama umezipoteza kule mbona wazitafuta hapa?"


TEJA:"Aaah we mpuuzi nini!! Kwani huoni kule kuna giza nitazipataje? Ndio maana nimekuja kuzitafuta hapa kwenye mwangaza"


1 comment:

  1. As the admin of this web site is working, no hesitation very
    shortly it will be famous, due to its quality contents.


    my web site - magic flight launch box where to buy

    ReplyDelete