Monday, May 7, 2012

WE NDIO RELAX???...





Jamaa mmoja alitulia beach mara akapita mzungu akamuuliza

"R U RELAX"

jamaa hajui k2 akajibu

"NO"

akapita mwingneakamuuliza vilevile jamaaakajibu

"NO AM ALEX"....

Akaamua kusogea mbele akamkuta mzungu Ame2lia akamuuLIZA

"R U RELAX"

mzungu akajibu

"YEAH!"

Jamaa akampiga bonge la bao akamwambia

"ebo!!! Wananiangaisha mie TU kumbe we ndo relax umejificha huku nenda uko wenzio wanakutafuta.”

No comments:

Post a Comment