Monday, May 7, 2012

DENTI HUYU BALAA......

Mwalimu: Gwalu kwanini umekopi majibu ya mwenzio?

Denti: Mi sijakopi mwalimu


Mwalimu: Swali la kwanza amejibu Hapana na wewe umejibu hapana,la pili kaacha na wewe umeaacha, la tatu amejibu ndio na wewe umejibu ndio.


Denti: Sasa mwalimu tatizo li wapi


Mwalimu: Swali la nne amejibu sijui, wewe umejibu' NA MIMI PIA SIJUI'


No comments:

Post a Comment