Tuesday, February 5, 2013

MAMBO YA TAARIFA...

Jamaa flani kavunjika miguu yote, baada ya kufikishwa hospitalini mambo yakawa hivi:

DOKTA: "Pole sana, baada ya kukupima kuna mambo mawili, moja la kuhuzunisha na la pili la furaha.

MGONJWA: "Mmmmh...anza na la huzuni."

DOKTA: "Inabidi ukatwe miguu yoteee!"

JAMAA AKAANGUA KILIO SANAAA!!...Alipotulia


MGONJWA: "Na hilo la kufurahisha?"

DOKTA: "Aaaah, ni kwamba kuna jamaa anataka kununua viatu vyakoooo...."


No comments:

Post a Comment