Tuesday, February 12, 2013

UMUHIMU WA KOMA (,)

Ona umuhimu wa koma(,) kwenye sentensi:


Kuna jamaa alipewa kazi ya kuandika tangazo lililotakiwa kusomeka


"Mtaalamu wa kucha,mba na kunyoa anapatikana hapa"


Badala yake akaandika


"Mtaalamu wa kuchamba na kunyoa anapatikana hapa"


No comments:

Post a Comment