Wednesday, February 20, 2013

NDANI YA DALA DALA


DEM: "Samahani kaka, naomba unipakate.."

JAMAA: "Haina wasi...njoo tu nikupakate."


DEM: "Haya."


JAMAA: "Inaonekana wee ni sekretari?"


DEM: "Ndio...mbona?"


JAMAA: "Vidole vyako laini kweliii!"


DEM: "Na wewe ni Fundi magari?"


JAMAA: "Ndio, umejuaje?"


DEM: "Hapa nilipo naona nainuliwa na kitu kama Jeki!!"


No comments:

Post a Comment