Wednesday, February 27, 2013

MIKOSI....

Jamaa mmoja alikua amekaa bar akaitazama bia yake kwa zaid ya dakika 20. Akatokea jamaa mmoja baunsa mtemi akaichukua akainywa yote ile bia

jamaa akaanza kulia hata hvo baunsa akamwambia 


"usilie bana nilikua nakutania tu nitakununulia nyingine" 

jamaa akajibu 

"hilo sio tatizo ila leo ninamikosi tu, asubuhi kazini nimefukuzwa, baada ya kutoka nje nkakuta gari yangu imeibiwa nikaja zangu bar , nimenunua bia yangu na kuiweka sumu ili nijiue wewe tena umeinywa"

TAFAKARI YALIYOFATA:..........


No comments:

Post a Comment