Thursday, February 28, 2013

MBEGU

Wasukuma watatu walitoka kijijini wakaenda kwa ndugu yao mjini, walipofika ndugu yao akawapa soda. 

Yule mmoja akaweka kizibo mfukoni, wenzake wakavitupa akashangaa! 

Akamnong'oneza mwenzake akasema: 

Wewe huchukui mbegu ya hivi vitu vitamu tukapande kwetu?

No comments:

Post a Comment