Monday, July 16, 2012

HAWEZI KUSOMA UPESI

Masanja alikua anaaandika barua na penmdeni yake alikuwepo Joti.


sasa wakati akiendelea na zoezi la kuandika Joti akawa anamtizama huku akimshangaa mwishowe ikabidi amuulize.


Joti: " aisee Masanja, vipi mana nimekuona mda mrefu unaandika apo na unaandika taratiiiibu saaana herufi kwa herufi na sio kawaida yako??"


Masanja: "wajua namuandikia mtoto wangu wa miaka 6 na bado hawezi kusoma haraka haraka"

No comments:

Post a Comment