Thursday, July 5, 2012

MAFUNDI NAO WANAPATA TABU

Jamaa kapeleka simu yake kwa fundi....


jamaa: ebana simu yangu kimeo hata sijui ni nini..!

Fundi: vp inafanyeje mpaka useme kimeo??


Jamaa: aaaah, yaani siku nzima yani inaweza pita hata haiiti bwana yani sipigiwi..kabisa.


(fundi akatest ringtone na kukuta ziko safi)


Fundi: sasa ndugu yangu kama hakuna aliyekupigia itaitaje?


Jamaa: we nawe vipi hii kimeo nakwambia mbona ya Masanjawani inaita tena sana kila baada ya mda anapigiwa..iweje hii isiwe kama ile??


Fundi na watu wengine hoi......


No comments:

Post a Comment