Wednesday, July 25, 2012

MAPENZI YA SASA.....

JAMAA:"Mpenzi wangu najua mimi sina pesa wala magari wala majumba ya kifahari kama rafiki yangu John lakini mi nakupenda kwa dhati na moyo wangu wote."

DEM:(akiongea kwa sauti ya mapenzi) "Kama wanipenda kweli darling nitambulishe kwa rafiki yako John."

No comments:

Post a Comment