Wednesday, June 27, 2012

BAGIA ZINAISHA

Baba anamuuliza mwanae:


"He! Leo imekauaje?? alfajiri yote hii, mbona unawahi shuleni?"

MTOTO: mwalimu wa bagia leo anakuja asubuhi nikichelewa nitakuta zimeisha bure. 



BABA: pumbafu si kuwahi masomo bali bagia?

MTOTO: ndio si wanasema elimu haina mwisho? Lakini bagia zinaishaga! 



BABA: akaguna mh, hapa kazi ipö. 


(sijui kama wanaelewanaga na mwalimu wake..)

No comments:

Post a Comment