Thursday, June 28, 2012

WATOTO WENGINE TABU....

BABA:"Tano ongeza kumi ni ngapi?"

MTOTO:"Sijui"

BABA:"Aaah we bwege,kwanini hujui hesabu rahisi ka hio!"

MTOTO:"Baba ukiona noti ya elfu 1 na ya mia 5 utaokota ipi?"

BABA:"Nitaokota ya elfu 1"

MTOTO:"We bwege,kwanini usiokote zote"


No comments:

Post a Comment