Saturday, June 9, 2012

UONGO MWINGINE HATA HAUFAI....


Jamaa: Unasoma?

Demu: Hapana sisomi, vipi wewe unasoma?

Jamaa: Ndo nipo kidato cha nne Jangwani.

Demu: Jamani hiyo si shule ya wasichana?

Jamaa: Aaah sory nimechanganya nipo Kisutu

Demu: Mwee mbona nayo ya wasichana...

Jamaa: haaah aaah nilikuwa nakutania tu nachukua masters IFM.

Demu: Mh ina maana IFM imeanza kutoa masters? acha uongo wako wewe...!!

Jamaa: Ishia zako demu mwenyewe hulipi wala nini...unaniuliza maswali kama tupo uhamiaji? 

KWA TAHARIFA YAKO NACHUKUA DEGREE YA UDAKTARI CBE

No comments:

Post a Comment