Thursday, June 28, 2012

BURUDANI ZA WALEVI....

walevi wawili walikua wanapiga stori uku wakiendelea kilaji na kimewakolea.


wa kwanza anasema,


"jana niliota niko Marekani."


wa pili  naye anasema,


"mi niliota niko TBL mule ndani, nilikunywa pombe hadi nikaanza kumwaga zingine mana hawaruhusu kubeba nje"


wa kwanza akakasirika,


"we ni mbaya, mbona hukuniita."


wa pili akamjibu,


"nilikuja kwako mkeo akaniambia umeenda Marekani"



No comments:

Post a Comment