Saturday, June 30, 2012

HILI BALAA

Jamaa mmoja ndani ya hoteli alipaza sauti na kusema 


"Manager wa hii hoteli yuko wapi?.....mke wangu anataka kujirusha dirishani afe." 


Manager akajibu "weee..kwanini?? haya mimi apa Sasa nikusaidie vipi mzee?"


Jamaa akajibu 


"We mshenzi nini! Leta funguo haraka nifungue dirisha, limefungwa!!"

No comments:

Post a Comment