Thursday, June 28, 2012

MMH HAPA SIJUI NINGEWAZAJE...!!

Enzi za ukoloni Wabongo wawili wakawa wa kwanza kupanda ndege, 


safari ya kuelekea Ulaya;


Mbongo 1: Aise hivi hii ndege ikizima huku juu itakuwaje?


Mbongo 2: Shhhhhh uchune, hawa wazungu hawana maana watatulazimisha tuisukume mpaka iwake.



No comments:

Post a Comment