Wednesday, June 27, 2012

NANI ALAUMIWE??

MZAZI:"Nikiwa na nazi 5 nikikupa 3 nitabaki na ngapi?"

CHALII:"Mi sijui"

MZAZI:"Aaah...kwanini hujui hesabu rahisi namna hii."

CHALII:"Shuleni huwa tunafundishwa hesabu za machungwa pekee"...


No comments:

Post a Comment