Thursday, June 21, 2012

utafanyaje...???

BINTI:"Hi Baba"

BABA:"Sema binti yangu?"

BINTI:"Nimempenda huyu watchmen wa hapa nyumbani na nimeamua kutoroka nikaolewe nae"

BABA:"Pumbavu kweli wewe unadhani nitashtuka? Safari njema na nisione sura yako tena hapa!"

BINTI:"Samahani baba.....Nilikuwa nakusomea barua aliyoacha mama"

BABA:"Umesema..!!"


No comments:

Post a Comment