Monday, June 4, 2012

KUBALI AU KATAA

‎#KubaliAuKataa Kuna wakati ulishatamani kupaa kama ndege au kutembea juu ya maji mwanawane! Mimi nakubali.

#KubaliAuKataa Samtaimzi unaamka asubuhi basi tu imebidi ila kazi zinachosha! Rudi kulala ile kwako!

#KubaliAuKataa Hizi nyumba za neshino hauzingi huwa unawaza sana hivi wadosi wamekata tiketi ya kuwa wapangaji foreva ama ni gani?



KwaHisani ya Masanjawani

No comments:

Post a Comment