Thursday, June 21, 2012

UJINGA KWA UJINGA.....

Stupid Questions Well Answered:

Q: Umenyoa nywele?
A: Hapana, nimebadilisha kichwa.


Q: Hiyo simu umenunua?
A: Hapana nimeitengeneza mwenyewe.


Q: Utakula mboga na nini? 

A: Mdomo

(A midnight call)
Q: Nimekuamsha?
A: Hapana nilikuwa naota jua hapa nje.


Q: Gazeti la leo linasemaje?
A: Sijaongea nalo.



 Q: Gari limejaa, nitakaa wapi?
A: Usijali dereva anashuka kituo kinachofata utapata kiti.


Q: Hiyo ni accident?
A: Hapana ni driver ameamua kupark gari upside down.


Q: Umepause movie?
A: Hapana wamechoka kuact wanarest.


No comments:

Post a Comment