Thursday, June 28, 2012

HIZI POMBE HIZI...BALAA

Mlevi kafika kwake amelewa njwiiiiii.


Akawa anapata tabu kuingiza funguo kwenye kufuli la mlango wake,

 
jirani yake akaamuuliza unataka msaada,

 
akajibu,

 
'Tena sana jirani,hebu shikilia hii nyumba kila nikitaka kuingiza funguo nyumba inacheza'



No comments:

Post a Comment