Thursday, June 21, 2012

WA AINA HII HUMPATI...

DEM:"Naomba unisaidie kupata mchumba."

MTAALAM:"Unataka mume wa aina gani?"

DEM:"Nataka awe mchangamfu,awe anaweza kunihadithia stori tamtamu siku nzima,awe na uwezo wa kuniliwaza na kunibembeleza,asitoke ndani na asiwe mbishi."

MTAALAM:"Olewa na redio!!"


No comments:

Post a Comment